SNOW ANIMATION

MADAM RUTH Header

RM STAR ADVERT

RM STAR Horizontal Banner

MATANGAZO

MATANGAZO

Wednesday, September 19, 2012

JIPATIE VIFAA VYA UMEME NA RADIO KATIKA DUKA LETU LA RM STAR KARIAKOO


 Rulea (kushoto) nikiwa na Chriss wa "Amenibamba Yesu"

 Bother akiweka mambo safi kuhakikisha kazi inasonga katika jina la Yesu.
 Muziki wa nguvu
TV za kufa mtu
 
Vifaa mbalimbali

WAO MAMA

MADAM RUTI MWAMFUPE,muimbaji wa nyimbo za injili nchini TANZANIA,akilakiana na mwanae kipenzi GOODLUCK, eneo la AIRPORT baada ya kushuka kwenye ndege akitokea nchini DUBAI kwa ajili ya kujiandaa na UZINDUZI WA ALBUM YAKE IENDAYO KWA JINA LA JANA IMEPITA.Utakaofanyika Tar 28/10/2012 katika kanisa la K K K T Kariakoo.

Tuesday, September 18, 2012

GOSPEL CHOICE AWARDS


Tuzo za kumi na nane, zitatolewa septemba 24, huko Georgia World Congress Center Atlanta,watakao performers for the show are Canton Jones, Sera Hill (NBC's The Voice Season 2) and Corey Webb (Season 1 of BET's Sunday Best) na Elder William Murphy. Pia kutakuwa na Red Carpet Pre-Show, Pastors Reception na Dinner alafu tuzo kutolewa!


 

Monday, September 17, 2012

UMEIONA HII SASA IKO SOKONI.

The album Yesterday has passed,This is a new day of MADAM RUTI MWAMFUP its available in audio CD, VCD&DCD.take your copy now.THANKS WE LOVE YOU.
 

Sunday, September 9, 2012

KONGAMANO DIOMOND JUBLEE

 
Madam Ruti akiwa na kundi zima la AMENIBAMBA FAMMILY,wakihudumu katika KONGAMANO kubwa lililoandaliwa na kanisa la OHM chini ya watumishi wa MUNGU PROSPER NA DEBORA NTEPA.katika ukumbi wa VIP DIAMOND JUBLEE.
 

Saturday, September 8, 2012

MKUTANO WA INJILI TAG BAGAMOYO.

Madam Ruti Mwamfupe akihudumu katika mkutano mkubwa wa Injili uliofanyika Bagamoyo leo.



AMENIBAMBA FAMILY KUTUA BAGAMOYO

Kikosi cha music wa nyimbo za Injil Amenibamba Family chini ya muimbaji wa kimataifa MADAM RUTI ambao wanatamba na nyimbo zao kama vile JANA IMEPITA NA AMENIBAMBA YESU,leo watakua Bagamoyo kwa ajili ya mkutano wa INJILI.

MAMBO YA ULAYA YAMPONZA MWANADADA KARIAKOO DSM.

Police wakimsaidia Dada alie nusulika kichapo kwakuvaa nusu uchi Kariakoo.

TANZANIA TUNAKWENDA WAPI?

Dada huyu adhalilika baada ya kuvaa nguo zinazomuonyesha nyeti zake katikati ya mji Kariakoo, watu wakasirika sana baada ya kumuona hivyo,wasema kwani wachoshwa na vitendo kama hivi vinavyo fanywa na baadhi ya wadada eti waiga ULAYA.wampigia kelele hadi kupigwa,POLICE wamsaidia.
 

Friday, September 7, 2012

MAANDAMANO.

 
Mwandishi huyu naona haogopi kumdaud Mwangosi,anapita mbele ya jeshiiiii

MAANDAMANO.

Hivi ndivyo ilivyokua pale WIZARA YA MAMBO YA NDANI JIJINI DSM na wajaidina waukweli walisema lolote na liwe ila wenzao watolewe.

MAANDAMANO YA WAISLAM KUTAKA WALIOKAMATWA WAKATI WA SENSA WAACHIWE.

DOUGLAS PIUS DP wa Praise Power Radio akifanya mahojiano na baadhi ya waandamanaji wa Dini ya Kiislam, maeneo ya POSTA JIJINI DSM walioandamana hadi wizara ya mambo ya ndani,kuonana na waziri wa mambo ya ndani, kuishinikiza Serikali iwaachie Waislam wenzao,waliokamatwa kukataa kujiandikisha wakati wa zoezi la SENSA YA TAIFA.

Monday, September 3, 2012

TAMASHA UWANJA WA SIFA MANZESE.

Muimbaji PASCAL KASSIAN jukwaani na wimbo CHUKI YA NINI kwenye uzinduzi wake.

TAMASHA LA PASCAL KASIAN

Madam Ruti kushoto,katikati Madam Ritha kulia Sifa John wakiwa katika Tamasha la muimbaji Pascal Kassian,uwanja wa SIFA MANZESE.

Sunday, September 2, 2012

MAHUBILI KANISA LA MESSIAH TAWI LA MKURANGA DSM.

MADAM RUTI AKIWA NA AMENIBAMBA FAMILY,BAADA YA MAHUBILI, WAKITOA SADAKA YA  MICROPHONE MADHABAHUNI, KATIKA KANISA LA MESSIAH PENTEKOSTE TAWI LA MKURANGA DSM.

MAHUBILI KANISA LA MESAYA TAWI LA MKURANGA DSM.

Madam Ruti Mwamfupe akihubili katika kanisa la Mkuranga jana tar 02/09/2012

Saturday, September 1, 2012

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...