SNOW ANIMATION

MADAM RUTH Header

RM STAR ADVERT

RM STAR Horizontal Banner

MATANGAZO

MATANGAZO

Wednesday, October 17, 2012

KIGOMA NAKO BALAA TUPU

Hivi ndivyo ilivyo kua huko Kigoma Makanisa yalivyochomwa moto.

Mama asikitishwa sana na kitendo hiki cha uchomaji wa kanisa.

IBADA KANISA LA TANZANIA CALVARY TABANACO CHURCH

Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Madam Ruti akiabudu baada ya kumaliza kuhudumu

Mch, kulia kutoka Zambia akihubili katika kanisa la TCTC Kinondoni.

MUNGU ANAPONYA MPENDWA!!

USAFIRI WA MBAGARA

Wakazi wa Mbagara wakigombania roly la mchanga kutoka kariakoo kuelekea mbagara.je hii itaisha lini?

Ajali yatokea Mbagara maji matitu,na yaua muendesha abilia aliye kua juu ya pikipiki.njia yafungwa.

Sunday, October 14, 2012

EVANGELISM & MISSION MINISTRIES.

Imetupasa kumgusa Bwana katika maisha yetu.
Na imetupasa kuugusa moto na wala sio moshi,na mazingira yanayo mgusa MUNGU.pale mahali ambapo msaada,mahali ambapo umekataliwa.
ISAYA 55:1
MARKO 5:25-36.
MATENDO 7:50

Saturday, October 13, 2012

UZINDUZI!! UZINDUZI!!--USIKOSE

Tunakukaribisha katika uzinduzi wa albam yetu iitwayo JANA IMEPITA katika mfumo wa AUDIO CD,VCD&DVD katika kanisa la KKKT Kariakoo.saa 7.00 mchana hadi saa 12.00 jion kufika kwako ndio mafanikio yetu Amina Hakuna kiingilio


Friday, October 12, 2012

"PENUEL,NIMEONANA NA MUNGU USO KWA USO NA NAFSI YANGU IMEOKOKA.

MWANZO  32:24-31, ISAYA  9:8,
Yakobo alipambana na Maraika na Maraika akamuuliza ,jina lako nani akasema jina langu Yakobo,Maraika akamwambia tangu leo utaitwa Israel.
Ndugu zangu napaswa kusema neno litamujia anaelia litamuendea akicheka,zidi kubarikiwa na mistari ya hapo juu MUNGU akubariki.

Hawa niwasharika wa morning groly kanisa la KKKT Kariakoo.

JICHO LA JANA NA LA JUZI.

MWANZO 31:1-16
Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani,wakisema,Yakobo amechukua mali yote ya baba yetu;na kwa mali ya baba yetu amepata fahali hii yote, Yakobo akaona uso wa Labani,ya kuwa haukumtazama vema kama jana na juzi.Bwana akamwambia Yakobo,urudi mpaka nchi ya baba zako,nami nitakua pamoja nawe.

Thursday, October 11, 2012

TAFSIRI YA BARAKA NI KUZIDI NA KUONGEZEKA.

MATHAYO 14:13-21.
Pasipo baraka za JEHOVA unaweza kufanya kazi kwa bidii,ukaamka mapema na ukachelewa kulala,ukala kwa shida lakini hakuna kuongezeka na unaweza ukajibana sana ukabana matumizi sana na usipate mafanikio yoyote.
Lakini MUNGU ni JEHOVA mwenye kuongeza.Baraka zinatoka kwa YESU ,zinapitia kwa Mchungaji wako kisha zinakuja kwako mfano nipale YESU alipoibariki mikate na samaki,alipomaliza aliwapa Wanafunzi wake ili wawape makutano.AMINA zaidi unaweza kukutana na masomo haya kupitia kanisa la KKKT Kariakoo.saa 12.00 asubuhi.

Friday, October 5, 2012

IBADA YA MORNING GLORY KKKT KARIAKOO NA ELIONA KIMARO.

MAHUBILI YALIYO BEBA UJUMBE UITWAO",MUUJIZAWA BARAKA"
Milia,Madoadoa naMarakaraka"Ujumbe huu pastor Kimaro aliendelea kusema kuwa jua marafiki unaoshilikiana nao katika Kazi,ofisini,Huduma,nk kwani wengine wamebeba muujiza wako,lakini pia wengine sio marafiki wakushirikiana nao kwani wamekua nivyanzo vya vilio katika maisha yako
tusome katika kitabu kitakatifu na tujue jinsi gani marafiki wa ukweli wakoje MWANZO 30:25-43.
ZAIDI YA HAYA YOTE TUKUTANE JUMA TATU KUJUA JUU YA MARAKARAKA,MADOADOA ,MILIA

Thursday, October 4, 2012

UNICEF YASAIDIA WATOTO YATIMA

Baadhi ya watoto walio pokea misaada

Rais Obama akiwa na wenzake

Tusisahau kuwaombea wanawake na watoto wadogo.

wakumbuke watoto kwa maombi,mtoto wa mwenzako niwakwako

HUU NI MOTO MKALI.

Muimbaji wakimataifa MADAM RUTI MWAMFUPE akifanya huduma katika semina iliyofanyika maeneo ya viwanja vya Ukonga,Semina ya wazi iliyo andaliwa na pst John Saidi

Watu wakiendelea kumshangilia MUNGU kwa wimbo JANA IMEPITA wake Madam Ruti, hakika jina la Bwana libarikiwe

MAGEREZA

Jamani watanzania,tuendelee kumuombea binti huyu Lulu,pamoja na wafungwa wengine walioko magerezani,wakutane na mkono wa JEHOVA.

Wednesday, October 3, 2012

NADHIRI TATU ZA YAKOBO

Kunamawasiliano kati ya MUNGU na nadhiri mara nyingi wakati wa shida watu huweka nadhiri ,lakini shida zao zinapokwisha wanasahau kutimiza au kuondoa nadhiri zao.YAKOBO aliweka nadhiri mbele za MUNGU akasema BWANA ukinifanikisha utakua MUNGU wangu ndio maana hata leo tunasema MUNGU wa YAKOBO kwakua aliweka nadhiri Nadhiri inaleta majibu
MWANZO  28:1-22

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...